JUMLA YA WANAFUNZI 6552 KUFANYA MTIHANI WA KUHITIMU DARASA LA SABA KESHO WILAYANI MPWAPWA

Na Barnabas Kisengi, Mpwapwa  Jumla ya wanafunzi 6552 wa shule za msingi wilayani Mpwapwa wanatarajia kufanya mtihani wa kuhitimu darasa la Saba inayotarajiwa kufanyika kesho hapa nchini  Akizungumza na jfivetv.com Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Mwanahamisi Ally amesema maandalizi yote yamekamilika vizuri na jumla ya shule 129 zilizopo wilayani mpwapwa zinatarajiwa kufanya