JUMLA YA WANAFUNZI 6552 KUFANYA MTIHANI WA KUHITIMU DARASA LA SABA KESHO WILAYANI MPWAPWA
Na Barnabas Kisengi, Mpwapwa Jumla ya wanafunzi 6552 wa shule za msingi wilayani Mpwapwa wanatarajia kufanya mtihani wa kuhitimu darasa la Saba inayotarajiwa kufanyika kesho hapa nchini Akizungumza na jfivetv.com Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Mwanahamisi Ally amesema maandalizi yote yamekamilika vizuri na jumla ya shule 129 zilizopo wilayani mpwapwa zinatarajiwa kufanya
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed